Breaking News

PICHA:TAZAMA MATUKIO MBALI MBALI PINDI RAIS MAGUFULI ALIPOTEMBELEA OFISI ZA TBC.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokelewa na 
Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison George Mwakyembe 
alipotembelea ofisi za Shirika la Taifa la Utangazaji TBC Mikocheni Dar es salaam na 
kuongea na wafanyakazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokelewa na 
Mkurugezi Mkuu wa Shirika la Habari na Utangazaji Ayob Rioba alipotembelea ofisi za 
Shirika la Taifa la Utangazaji TBC Mikocheni Dar es salaam na kuongea na wafanyakazi




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akioneshwa sehemu 
mbalimbali za studio za Redio na Televisheni za Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) 
alipotembelea leo kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika moja ya 
studio za Televisheni za Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na mtangazaji Bi. Asha Haji 
alipotembelea kuangalia uendeshaji wake na kuongea na watumishi