Breaking News

TAZAMA PICHA:GARI LA POLISI LANASWA LIKIBEBA MCHANGA MTAANI.





Gari la Polisi limenaswa na kamera likisomba mchanga ndani ya mji wa ‘maji kasoro bahari’,
 Morogoro. Haijajulikana mchanga huo ulikuwa ni wa nani na ulikuwa unakwenda kufanya 
kazi gani na wapi.

Shuhuda wa tukio hilo anadai kuwa alishuhudia watu watatu wakikusanya na kupakia mchanga ndani ya gari hilo la polisi ambalo ni maalum kwa ajili ya Kikosi cha Kutuliza Fujo (FFU) lilikuwa na namba za usajili PT 3725.