Breaking News

Huyu Hapa Mwanasayansi Aliyetengeneza Virusi hatari vya Ukimwi



Ameua maelfu na maelfu ya watu, alitengeneza ugonjwa huu mnamo miaka ya 1970, na sasa daktari huyu kwa jina Robert Gallo siku chache zilizopita ameibuka hadharani na kusema amepata dawa ya kutibu ugonjwa huo.
Robert Gallo anaelezwa kwamba alihusika na vita vya kibaiolojia kwa lengo la kuwaondosha watu weusi na mashoga duniani katika miaka ya 1970.