Breaking News

VIDEO: TAZAMA TUKIO ZIMA LA KUVAMIWA MKUTANO WA CUF


Wanachama wa CUF wanadaiwa kuwa upande wa Maalim Seif wavamiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari  na kujeruhewa na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Professa  Ibrahimu Lipumba.

Mkutano huo ulioitishwa na Mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Kinondoni Juma Mkumbi ambao ulilenga kueleza kuhusu msimamo wao kuhusu mustakabali hicho kutokana na mgogoro uliokuwepo kwenye chama.