Mahama: Nitaheshimu matokeo ya uchaguzi Ghana
John Mahama (kushoto) na Akufo-Addo (kulia)
Rais wa Ghana John Mahama amesema kuwa ataheshimu matokeo ya uchaguzi wa urais kwenye kinyang'nyiro kikali.
Pia kupitia kwa akaunti yake ya Twitter Mahama alisema kuwa tume ya uchaguzi ni lazima ipewe muda wa kutekeleza wajibu wake.
Vyombo vya habari nchini Ghaba vinasema kuwa mgombea wa upinzani Nana Addo Dankwa Akufo-Addo, mwenye umri wa miaka 72 anongoza.
Mtandao wa tume ya uchaguzi Ghana wadukuliwa


