Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
“Team Tanzania Mungu ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo.

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.


