Malori ya Kenya na Tanzania yachomwa moto DRC
Magari 13 ya mizigo yanayotoka Tanzania na Kenya yamechomwa moto
katika vijiji vya Kasebebena na Matete kilometa 30 kutoka mji wa Namoya katika nchi ya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kulingana na gazeti la Mwananchi nchini Tanzania,Mmiliki wa kampuni ya Simba Logistics inayomiliki magari 10 kati ya yaliyopata kadhia hiyo,
Azim Dewji amesema magari yake manne yameteketea kabisa na mengine sita yameungua




