Breaking News

VIDEO: Msikilize Mwakyembe Akimtuhumu Nassari Kuingia na Konyagi Bungeni....Chanzo Kikuu ni Sakata la Richmond


Jana Waziri wa Habari, utamaduni, sanaa na michezo Dr. Harrison Mwakyembe alimtuhumu Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwa  kuingia bungeni akiwa amekunywa pombe  aina ya konyagi, huku akijibu tuhusa za sakata la Richmond