Nape:Heshima aliyonipa Mheshimiwa Rais ni kubwa mno.
Mheshimiwa Nape ambaye ni mbunge wa Mtama ameyasema hayo wakati wa makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo mkoani Dodoma.
“Heshima aliyonipa Mheshimiwa Rais ni kubwa mno nitaendelea kumuunga mkono katika dhamira yake njema ya kuleta mageuzi nchini. Tofauti na maneno yanayosemwa mtandaoni mimi nitakuwa mtiifu kwa Rais, serikali na chama changu.”