Baada ya Rais Magufuli kutoa agizo la
kuachiwa kwa mwanamuziki Nay wa Mitego, aliyekuwa waziri wa Habari,
Utamaduni Sanaa na Michezo Nape Nnauye amepongeza uamuzi huo.
Kupitia akaunti yake Twitter, Nape ameandika kama ifuatavyo.
NAPE AFURAHISHWA NA UAMUZI WA RAIS MAGUFULI....TAZAMA ALICHOKIANDIKA MTANDAONI.
Reviewed by Unknown
on
8:54 PM
Rating: 5