Rais
John Pombe Magufuli alizungumza wakati wa kuapishwa kwa Kamishna mpya
wa kupambana na dawa za kulevya pamoja na mkuu mpya wa Uhamiaji
Tanzania.
Moja
ya alivyovisema ni kuhusu dawa za kulevya na pia Watanzania waliofungwa
nje wasishughulikiwe kivyovyote na Mabalozi na Wizara ya mambo ya nje,