Waziri Ummy awatega wakurugenzi na waganga wafawidhi nchini
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy
Mwalimu akizungumza kwenye maadhimish ya siku ya wazee Dunian ambayo
kitaifa yalifanyikia Viwanja vya Shule ya msingi Ibar-Rujewa Wilaya ya
Mbarali, Mbeya.

Wazee wakiwa katika maandamano kwenye maadhimisho yaSiku ya Wazee ambayo kitaifa yamefanyikia Rujewa-Mbarali
kwanza kushoto ni wazir Ummya, katikati Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mbunge viti Maalum, Mbeya, Dk. Mary Mwanjelwa.
Aah!! Hapo waziri Ummy akijaribu kupiga ngoma baada ya kuzawadiwa na wazee kutoka bonde la Usangu. Zawad hiyo iligawanyika ktika makundi matatu. Alipewa zawadi Waziri Ummy, Rais John Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Aah!! Hapo waziri Ummy akijaribu kupiga ngoma baada ya kuzawadiwa na wazee kutoka bonde la Usangu. Zawad hiyo iligawanyika ktika makundi matatu. Alipewa zawadi Waziri Ummy, Rais John Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Lengo ka kutoa
ngoma hizo ni kwamba baada ya majukum mazito ya viongozi hao na
wanapopumzika basi wanajifariji kwa kupiga na kucheza ngoma.

*Waziri Ummy Mwalimu atoa siku 90 kwa wakurugenzi na waganga wafawidhi nchin kuwatambua wazee na kuwapatia kadi za matibabu bure*
*Waziri Ummy Mwalimu atoa siku 90 kwa wakurugenzi na waganga wafawidhi nchin kuwatambua wazee na kuwapatia kadi za matibabu bure*


