Breaking News

WOLPER AMTUKANA SHEMEJI YAKE "NDIKUMANA" LIVE INSTA....TAZAMA MWENYEWE UBUYU WOTE HAPA

Kufuatia ugomvi wa maneno unaoendelea mitandaoni baina ya muigizaji Irene Uwoya na baba wa mtoto wake Ndikumana, hii leo sakata hilo limefika pabaya.

Kupitia mtandao wa Instagram mcheza soka Ndikumana alitupia stori akifunguka jinsi ambavyo alikuwa akiishi na Irene Uwoya na kwa namna moja ama nyingine basi amemgusa shemeji yake (Jackline Wolper).

Ishu hiyo inaonesha dhahiri kwamba Wolper ame-maind kinoma na hapa tazama alichokijibu kupitia akaunti yake ya Insta.
Kwanza kabisa shemeji yangu wa zamani Ndiku ambaye hata harusi yenu nilisimamia,Uliyefanikiwa kumdanganya ndugu yangu kwa kumfanya aweze kukuzalia na kukufanya mpk unakufa unaitwa baba fulani,Lkn baba wewe fulani ndie uliyekuwa wakwanza kuanza kumtusi mzazi mwezio tena mbaya zaidi kupitia social median.Cha ajabu sasa mzazi mwezio ndio kwanza hana habari na ww kwa maana saiv kila mtu anapambana na hali yke endapo atakaa na kuanza kujibishana na ww kupitia mtandaoni ili hali ya kuwa hta senti ya big bom kwa mtoto wako hujui aliilamba lini,Kwanza napenda nimpongeze ndugu yng Pacha wangu kwa kuweza kuwa mwanamke wa nguvu aliyeweza kuthubutu kukubali kuolewa na kuzaa nawe mtu uliyenyimwa sura mpk damu ya kupendeza na kuweza kuthubutu kukubali na kukuamini kuweza kukutangaza kwenye humati wa watu kuwa ww ndie mume wake mpk kufa kwake,Na upande mwengine pia najua mambo yote hyo yanakutoka kutokana huwezi pata chombo kikali kma huyo na ndio maana yanakutoka mengi namna hyo ulifikiri ukiweka hvyo vitu insta ndio kunamtetezi atakutetea kumpata tena hahahhahaha pole sana saiv hali ngumu ww pambana tu na hali yako uweze kupata fake wezio😂😂😂😂😂😂Na kwa taarifa yako mwanaume mwenye hekima na akili awezi kufanya udambudambu unao ufanya wewe,Hao wanaokudanganya kuwa mchambe kwenye social media ndio atakurudia wanakudanganya braza,Sasa angalau basi ungemkiss gizan atilisti ungepewa hta gizani kuliko kujikuta kindume kumbe Pacha alikuwa anakustili na mengi sisi wanawake jamani tuwe tunapewa mishahara hta kwa mwezimwezi khaaa sio kwa masahibu tunayopitia kwa kwel Mungu atubariki na kutupa nguvu kwa hya tunayokutana nayo na kupitia🌚#nakuweka masaa mawili tuu upewe ujumbe wako nifute...koma kuchamba mwanamke aliyekuzalia mitandaoni... shame 👎
A post shared by Jacqueline Wolper (@wolperstylish) on