Breaking News

HII HAPA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Leo Jumatano Tarehe 23/08/2017, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na  Msemaji Mkuu wa Serikali,  Dkt. Hassan Abbasi ataongea na Vyombo vya Habari.

Tarehe: 23/08/2017.

Mahali: Idara ya Habari (MAELEZO).

Muda: Saa Nne Kamili Asubuhi (04:00 asubuhi).