Rais Uhuru Kenyatta ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika Jumanne nchini Kenya, saa chache baada ya upinzani kupinga mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kenya (IEBC) wa kutangaza mshindi leo.
BREAKING NEWS:UHURU KENYATTA ATANGAZWA KUWA MSHINDI WA URAIS KENYA
Reviewed by Unknown
on
10:41 PM
Rating: 5