Breaking News

  

BILL GATES AWASHUKURU WATANZANIA KWA UKARIMU WALIOMUONESHA...PIA AJIVUNIA JINSI ALIVYOJIUNGA INSTAGRAM AKIWA TANZANIA

Tajiri maarufu duniani Bw. Billgates yuko ziarani nchini Tanzania ambapo pamoja na masuala mbalimbali ya maendeleo aliyoazimia hapa nchini tajiri huyo amejiunga kwenye mtandao wa Instagram akiwa hapa hapa Tanzania.

Kupitia akaunti yake ya Insta ambayo hadi hivi sasa ina wafuasi zaidi ya 13 elfu ametupia ujumbe ambao dhahiri umeonesha furaha yake kutokana na mapenzi aliyoyaona kwa watanzania. 

Bill Gates amefunguka kuwa ameanza kutumia Instagram akiwa hapa Tanzania na akashukuru watanzania wote kwa mapenzi na ukarimu waliouonesha kwake.

"I start using Instagram in Tanzania...Thanks Tanzanians for the love and supports" aliandika Bill Gates.
A post shared by Bill Gates (@this_billgates) on