VIDEO:RAIS MAGUFULI AZIAGIZA TRA, TFDA, TBS NA TPA KUPIGA KAZI MASAA 24 KUANZIA JUMATATU YA KESHO.

Waziri Mkuu amesema anataka kupata taarifa Jumatatu kuwa utekelezaji huo umefanyika,.
Amesema bandari ya Mombasa inatoa mzigo ndani ya siku 9 huku ya Dar ikichukua siku 14.


