Breaking News

VIDEO: BAADA YA KUAPISHWA MBUNGE SALMA KIKWETE AANZA KWA KASI....AMTWANGA SWALI WAZIRI ANJELAH KAIRUKI...TAZAMA VIDEO HII.


Baada ya kuapishwa, Mbunge Salma Kikwete ameuliza swali kwa mara ya kwanza na kulielekeza OR-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Mkutano wa saba wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo Dodoma. Leo asubuhi kabla ya kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu mbunge wa kuteuliwa Mama Salma Kikwete aliapishwa